Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Mb Dogg
Total songs: 2
Year:

List songs in album

  1. Si Uliniambia
  2. Dear

Dear Lyrics - Singles - Mb Dogg

Verse 1 

Huamini miujiza mchumba 

Sauti ya nyuki inasikika 

Sogea karibu 'baby' 'time' zishafika 

Unipe uhuru 'dear Nikiss' nnapotoka 

Tukae mlimani dear Niwe 'free' 

ndani ya kopa Penzi kwa fujo my boo 

Moyo wangu ushauteka Raha ya Afrika 

RTD Mimi ndo 'one naskika 

Hivi kwanini dear 

Moyo wangu unautesa 

Hivi hushoboki dear 

Inavyonipenda East Africa Yii yii dear, 

I need you dear Ooh dear, I Love you my baby 

Chorus 

Haya mapenzi ni kitu gani 

Muda nawaza mpaka nimechoka 

Vile Dog mimi nina jina 

Mashori wengi tu wanashoboka 

Nnayempenda mimi hanipendi 

Nnachotaka kwake mi sipati 

Kukataa mpenzi ana haki 

nami Kumuacha moyo hautaki 

Verse 2 

Naamini wenye tamaa ni wengi 

Wachache wanajua kupenda 

Ninakupenda we kwa moyo o 

Ukiniacha mi ntakonda 

Company yetu wote makacha a 

Kuhusu mabitozi hakuna kabisa a 

Jimix' na Magangsters baby upate raha a 

Hoo nakondaa kabisa a 

Wazuri kibao wananipenda 

Siwajali mimi nawatesa 

Cha ajabu yule wangu wa moyo o 

Yeye hanitaki kabisa a 

Company yetu wote makacha a 

Kuhusu mabitozi hakuna kabisa a, 

Jimix na Magangsters baby upate raha a 

Hoo nakondaa kabisa a 

Mwambieni mi kama ntakufa 

Kifo changu amesababisha 

Simlazimishi ye kunipenda 

Ila mwambieni ananikondesha 

Nampenda mpenzi mikachaa 

Nisipo mwona Dog sina raha 

Mwambieni wangu sinyoraa Yii yii yii 

nampenda a 

Hook 2x 

Yii yii dear, I need you dear 

Ooh dear, I Love you my baby 

Repeat Chorus