Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Banana Zoro
Total songs: 1
Year:

List songs in album

  1. Zoba

Zoba Lyrics - Singles - Banana Zoro

Mafunzo yote! Pozi zote! Mauzo yote! 

Eti binti hanitaki Nimesubiri sana, 

nimechukua za uso, kuda deki! 

Si uzoba huu? Aiyey! 

Chorus 

Subira yangu ndiyo iliyoniponza Ngoja, ngoja, 

naonekana Zoba 

Subira yangu ndiyo iliyoniponza Ngoja, ngoja, 

naonekana mjinga 

Kwa sababu nilimpenda kweli (4x) 

Verse 1 

Mawazo, mawazo yatawala kichwa changu, 

ee Maumivu, maumivu yamevunja moyo wangu 

ee Kusubiri, kusubiri, nimekusubiri mpenzi wangu 

ee Lakini umekuja kuuvunja moyo wangu 

ee Nilikuwa nikamili nisifanye jambo lolote nawe 

Mpaka tuje tufunge ndoa, 

umalize na masomo Huko umekwenda huko chuoni 

ee Umebadilika mama, umebadilika, umebadilika sana Mama yo, mama yo Mama yo, mama yo, mama yo Unaniona mimi Zoba, Zoo-oba ee 

Chorus 

Subira yangu ndiyo iliyoniponza 

(Imeniponza miye ee) Ngoja, ngoja, naonekana Zoba 

(Zoba la mapenzi ee) Subira yangu ndiyo iliyoniponza (Nimepotezwa miye ee) Ngoja, ngoja, naonekana mjinga (Sijui la kufanya ee) Kwa sababu nilimpenda kweli 

(Kweli eee) Kwa sababu nilimpenda kweli 

(Nilimpenda kweli) Kwa sababu nilimpenda kweli (Nilimpenda kweli ooo) Kwa sababu nilimpenda kweli (Mama yo, mama yo) 

Verse 2 

Inauma sana, mpenzi wako Wampenda sana, 

wamlinda sana, Wapata habari, kumbe mwenzako Kampenda sana, rafiki yako Ndo maana juzi, 

umeacha mazoezi Ndo maana siku hizi hutaki 

kuwa na mimi Mapenzi (mapenzi) yananiumiza (yananiumiza) Mapenzi (mapenzi) yananitesa 

(nitakulinda wewe) Maumivi ya mapenzi, 

zaidi ya mwiba Sikitiko la mahaba, 

la shinda msiba Nitakulinda mama 

Nitafanya jambo lolote kwa ajili yako 

nahakikisha nakuwa na wewe, wewe ee 

Mama yo, mama yo, mama yo 

Unaniona mimi Zoba, Zoo-oba ee 

Chorus 

Subira yangu ndiyo iliyoniponza (Imeniponza miye ee) Ngoja, ngoja, naonekana Zoba (Zoba la mapenzi ee) 

Subira yangu ndiyo iliyoniponza (Nimepotezwa miye ee) Ngoja, ngoja, naonekana mjinga (Sijui la kufanya ee) 

Kwa sababu nilimpenda kweli (Kweli ee) 

Kwa sababu nilimpenda kweli (Nilimpenda kweli ee) 

Kwa sababu nilimpenda kweli (Nilimpenda kweli oo) 

Kwa sababu nilimpenda kweli Mama yo, mama yo (3x) Nitakulinda wewe, mpenzi wangu wewe 

Hii ni ahadi naiweka kwako wewe 

Wewe oo, wewe oo 

Upo kwa ajili yangu ee 

Nitasubiri siku zote Litunze penzi langu mama 

Mapenzi, mapenzi, mapenzi, 

mapenzi, mapenzi, mapenzi, 

mapenzi, mapenzi mabaya 

Mapenzi mabaya, mapenzi mabaya, 

mapenzi mabaya, mapenzi mabaya 

Lakini mpenzi wangu, mapenzi, 

umalize masomo tuwe wapenzi kweli 

Tufunge ndo na we mama nakupenda 

Nakupenda kama wali wa nazi (I love you) 

Mbona mwenyewe, Nimeamua kusubiri oo, 

kusubiri Usifanye mama, 

nikaonekana Zoba Nikija kungoja, 

siku zote mama